OUR EVENTS

Loading Events

« All Events

  • This event has passed.

Mangeurs de Cuivre (The Copper Eaters)

July 5, 2018 @ 17:30 - 19:30

| Free
Bodil artist hangout

Artist Hangout w/ Bodil Furu of “Mangeurs de Cuivre (The Copper Eaters)”

Dar filmmakers and film lovers listen up!!!

This Thursday 5th of July Nafasi Art Space will be offering you a chance to meet and hang out with Norwegian Artist and Filmmaker Bodil Furu.

Bodil will be with us from 5.30pm in the Nafasi exhibition hall to present and talk about her latest project, “Mangeurs de Cuivre (The Copper Eaters)”. The Democratic Republic of Congo has a long history of civil wars and conflicts caused by minerals. Mangeurs de Cuivre shows the reality of multinational mineral extraction in the south east of the country.

Join us for a unique chance to learn about cinema, art and life on the modern filmmaking scene.


Wanafilamu na wapenzi wa sinema mpo?!!

Alhamisi hii, tarehe 5 July kutakuwa na fursa ya kuonana na Bodil Furu, mtengenezaji filamu kutoka Norway.

Bodil atakuwepo kuanzia saa 11 na nusu jioni kwenye jukwaa la Nafasi kuongelea kuhusu filamu yake mpya, “(Mangeurs de Cuivre (Mla Shaba)”. Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ina historia ndefu ya vita vya wenyewe kwa wenyewe na migogoro inayosababishwa na madini. Mangeurs de Cuivre inaonyesha ukweli wa uchimbaji madini wa kimataifa katika kusini mashariki mwa nchi.

Hivyo usikose nafasi hii kujua zaidi kuhusu filamu, sanaa na tasnia ya filamu za nje.

Details

Date:
July 5, 2018
Time:
17:30 - 19:30
Cost:
Free
Event Categories:
,
Website:
https://www.facebook.com/events/286185558618373/

Venue

Nafasi Art Space
Eyasi Road, Mikocheni B
Dar Es Salaam, Tanzania, United Republic of
View Venue Website

Organizer

NAFASI
Phone
+255 757 820 426
Email
info@nafasiartspace.org